Alhamisi, 13 Machi 2014

MAAFA JIJINI NEW YORK NCHINI MAREKANI

Watu 4 wameripotiwa kufariki dunia, wengine wengi kujeruhiwa huku pia watu wengi wakiwa bado hawajaonekana kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika majengo mawili ya makazi na kisha kuanguka huko jijini New York nchini Marekani. Chanzo chaelezwa ni kulipuka kwa gesi
 Vikosi vya uokojai vinaendelea na kazi ya kuwatafuta watu walionasa katika majengo hayo
 Moshi mkubwa ukionekana katika majengo hayo baada ya kutokea kwa mlipuko huo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni