Alhamisi, 13 Machi 2014

HALI ILIVYOKUWA KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA BAADA YA SAMUEL SITTA KUSHINDA KWA KISHINDO JANA

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakimpongeza Mhe. Sitta kwa ushindi wake wa kishindo
                                            Hongera sana sana....anaambiwa mshindi
                                                  Mikono ya pongezi yazidi kumiminika
Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalum la Katiba mteule Mhe Samwel John Sitta akitoa neno la shukurani kwa Wajumbe kwa imani waliyoonesha kwake kwa kumchagua kwa kura nyingi kushika nafasi hiyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni