Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana pichani kushoto na Naibu Katibu Mkuu wa
CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba wakimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia
chama hicho cha CCM,Ndugu Godfreya Mgimwa,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni
za lala salama,uliofanyika leo jioni katika kijiji cha Magulilwa kata ya
Magulilwa,Iringa vijijini.



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni