Ijumaa, 7 Machi 2014
KUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA HII LEO
Mwenyekiti wa Kamati ya
Kumshauri
Mwenyekiti kuhusu Kanuni za Bunge Maalum la Katiba, Mhe Profesa Costa Mahalu (kulia) akiteta na wajumbe wa kamati hiyo Bungeni Mjini Dodoma baada ya Semina
ya Wabunge wa Bunge Maalum la
Katiba kuahirishwa hadi kesho saa nne.
Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda akiteta na Mjumbe
wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe James Mbatia kwenye ukumbi wa bunge Mjini Dodoma baada ya Semina
ya Wabunge wa Bunge Maalum la
Katiba kuahirishwa hadi kesho saa nne
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni