Rweyunga Blog

Ijumaa, 7 Machi 2014

NDEGE NYINGINE YA ATC YAWASILI DAR ES SALAAM, KUANZA KAZI KESHO

Ndege nyingine ya air tanzania aina ya  CRJ-200 ER yenye  uwezo wa kubeba abiria 50 imeingia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa taarifa toka shirika hilo  ndege hiyo itaanza  kuruka kesho.


at 16:22
Shiriki

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Inaendeshwa na Blogger.