Ijumaa, 7 Machi 2014

MGOGORO WA UKRAINE, OBAMA AZUNGUMZA KWA MARTA NYINGINE NA PUTIN

 Rais Barack Obama wa Marekani amekuwa na mazungumzo ya moja kwa moja kwa muda wa saa moja na Rais wa Urusi, Vladmir Putin huku akisisitiza diplomasia zaidi itumike katika kumaliza mgogoro mkubwa ulioikumba Ukraine . 

Katika mazungumzo hayo, Rais Putin alimsihi Obama kuwa mgogoro huo usiharibu uhusiano wa nchi hizo mbili
                                                             Rais wa Urusi, Vladmir Putin

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni