Baada ya kupanda jukwaani pamoja Jijini
Paris Rihanna na rapa Drake waliibua minongono kuwa huenda wawili hao
wapo kwenye mahusiano, hata kabla ya hilo halijathibitishwa mastaa
hao wamezidisha uvumi baada kunaswa wakitoka kula pamoja mlo wa usiku
huko Amsterdam.
Wawili hao walinaswa wakitoa kwenye
hoteli moja ya Sushi, baada ya kula mlo huo pamoja katika Jiji hilo
kuu la nchi ya Uholanzi, ikiwa ni siku moja baada ya Drake kufanya
shoo Ziggo Dome kwenye ziara yake ya sasa.
Drake akifuatia kwa nyuma baada ya Rihanna kutoka.


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni