.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 12 Machi 2014

ARJEN ROBBEN AMTAKA KOCHA WA ARSENAL ARSENE WENGER KUWA MSTAARABU

Nyota wa Bayern Munich, Arjen Robben amemuambia kocha wa Arsenal Arsene Wenger anapaswa kujiheshimu, kufuatia kueleza kuwa mchezaji huyo ni bingwa wa kujirusha.

Nyota huyo wa Kimataifa wa Uholanzi amejibu mapigo ya kauli ya Kocha Wenger kufuatia kauli yake aliyoitoa katika mchezo wa Klabu Bingwa Ulaya ulioishia kwa sare ya bao 1-1 jana usiku. Na Bayern kuibuka na ushindi wa matokeo ya jumla ya mbao 3-1.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni