BENKI YA CRDB YAZINDUA HUDUMA YA MALIPO YA GHARAMA ZA MATIBABU KWA NJIA YA KADI KCMC
Tawi dogo la Benki ya CRDB lililozinduliwa katika hospitali ya rufaa ya KCMC.
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB Dk Charles Kimei pamoja na wageni wengine mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja wakionesha kadi ya mfano ya kulipia gharama za matibabu katika hospitali ya rufaa ya KCMC.
Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB pamoja na kaimu mkurugenzi wa hosptali ya KCMC .Prof Raimosi Ollomi wakati akizindua tawi dogo la Benki ya CRDB.
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB,Dk Charles Kimei akimuelekeza jambo Askofu Dk Martin Shao kabla ya uzinduzi wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni