.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Machi 2014

KIJANA ALIYESAFIRI KWA KUTUMIA HATI BANDIA NA NDEGE YA MALAYSIA NI KUTOKA IRAN

 Mtu aliyesafiri na ndege ya shirika la ndege la Malaysia iliyokuwa na abiria 239 kwa kutumia hati bandia ya kusafiria iliyoibwa ametambuliwa kuwa ni kijana raia wa Iran mwenye umri wa miaka 19. 

Kijana huyo Mohammah Mehrdad ( pichani juu ) polisi wamesema haielekei kama kijana huyo ana uhusiano na kikundi cha ugaidi.
Juhudi zaidi zimeongezwa kuitafuta ndege hiyo iliyokuwa na raia kutoka mataifa 14 iliyopotea toka ijumaa iliyopita

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni