.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 8 Machi 2014

MASHINDAO YA OLYMPIC YA WALEMAVU MAJIRA YA BARIDI YAFUNGULIWA MJINI SOCHI, NCHI NYINGI ZA ULAYA ZAJITOA

 Rais wa Urusi Vladmir Putin akipunga mkono wakati wa ufunguzi wa mashindano ya Olimpiki ya Walemavu "Paralympic" ya majira ya baridi mjini Sochi nchini Urusi hapo jana
 Mshiriki toka Ukraine akipita mbele wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo ambayo yamekosa msisismko mkubwa kutokana na mataifa mbalimbali hasa ya Ulaya kujitoa ikiwemo Marekani ambayo iliiondoa timu yake kushiriki mashindano hayo baada ya Urusi kupeleka majeshi yake Crimea nchini Ukraine na kugoma kuyaondoa mpaka sasa kufuatia machafuko yanayoendelea katika nchi hiyo na kumlazimisha aliyekuwa Rais wake Victor Yanukovych kukimbilia Urusi
          Shamra shamra za ufunguzi wa mashindano hayo hapo jana mjini Sochi
Timu ya Brazil ikipita mbele kwa maandamano wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo
                                                            Sherehe za ufunguzi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni