Katibu wa CCM, tawi la Chuo Cha Kimataifa cha Diplomasia, Kennedy Ndosi ( wa sita toka kulia ) akiwaa katika picha ya pamoja na baadhi ya waliosimamia kampeni wakati wa uchaguzi akiwemo Chrispine Pinda, Kanal Rankho, Bonnah Kalua, Mchungaji Isaya, Athuman Kikwete, Ustaadh Balua Mwakilanga, William Sarakikya na Ali Makwiro
Jumapili, 25 Mei 2014
KENNEDY NDOSI KATIBU WA CCM TAWI LA CHUO CHA DIPLOMASIA, AMWAGA MPINZANI WAKE SEVERINE KAPINGA KWA KURA 8 KWA 3
Katibu wa CCM tawi la Chuo Cha Kimataifa Cha Diplomasia, Kennedy Ndosi ( katikati ) akiwa na aliyekuwa mpinzani wake katika uchaguzi huo Severine Kapinga, kulia. Katika uchaguzi huo ulioshuhudia Dk. Kyaruzi akichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM chuoni hapo, Ndosi alipata kura 8 na mpinzani wake huyo alipata kura 3 kati ya kura 11 zilizopigwa.
Katibu wa CCM, tawi la Chuo Cha Kimataifa cha Diplomasia, Kennedy Ndosi ( wa sita toka kulia ) akiwaa katika picha ya pamoja na baadhi ya waliosimamia kampeni wakati wa uchaguzi akiwemo Chrispine Pinda, Kanal Rankho, Bonnah Kalua, Mchungaji Isaya, Athuman Kikwete, Ustaadh Balua Mwakilanga, William Sarakikya na Ali Makwiro
Katibu wa CCM, tawi la Chuo Cha Kimataifa cha Diplomasia, Kennedy Ndosi ( wa sita toka kulia ) akiwaa katika picha ya pamoja na baadhi ya waliosimamia kampeni wakati wa uchaguzi akiwemo Chrispine Pinda, Kanal Rankho, Bonnah Kalua, Mchungaji Isaya, Athuman Kikwete, Ustaadh Balua Mwakilanga, William Sarakikya na Ali Makwiro
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni