.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Januari 2015

AFCON 2015, EQUATORIAL GUINEA YAITANDIKA GABON NA KUFUZU HATUA YA ROBO FAINALI

Wenyeji wa fainali za kuwania kombe la mataifa Afrika, Equatorial Guinea wamefanikiwa kusonga mbele katika fainali hizo baada ya kuwafunga Gabon kwa jumla ya mabaop 2-0. 

Equatoria Guinea imetinga hatua ya robo fainali baada kumaliza michezo yake ikiwa imeshika nafasi ya pili katika kundi A kwa kufikisha jumla ya pointi 5 nyuma ya Congo iliyomaliza ikiwa na pointi 7. Mabao hayo yalifungwwa na Javier Balboa kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 55 na Edú akifunga bao la pili katika dakika ya 86.
                                             Mashabiki wa timu ya soka ya taifa ya Equatorial Guinea

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni