.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 29 Januari 2015

AFCON 2015, IVORY COAST YAFUZU HATUA YA ROBO FAINALI BAADA YA KUIFUNGA CAMEROON

Ivory Coast hatimaye imefanikiwa kuchomoza hatua ya robo fainali ya kuwania kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuifunga Cameroon bao 1-0. 

Alikuwa ni mchezaji Max Gradel aliyewafungia tembo hao bao hilo muhimu katika dakika ya 35 ya kipindi cha kwanza, bao ambalo lilidumu hadi mpira unamalizika. 

Huo ulikuwa ni mchezo wa kundi D wa kukamilisha ratiba, katika fainali zinazoendelea kuunguruma nchini Equatorial Guinea.
Mchezaji Max Gradel akiivuta jezi yake kwa furaha baada ya kufunga bao lililoivusha Ivory Coast hadi hatua ya robo fainali.
Wachezaji wa Ivory Coast wakiwa na furaha mara baada ya kumalizika kwa mchezo baina yao na Cameroon, ambapo walishinda bao 1-0

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni