.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 29 Januari 2015

CAPITAL ONE CUP, FAINALI SASA NI TOTTENHAM NA CHELSEA WEMBLEY MACHI MOSI

Timu ya soka ya Tottenham imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya kuwania kombe la Capital One Cup nchini Uingereza, baada ya usiku wa kuamkia leo kufungana mabao 2-2 na Sheffield United waliokuwa wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani. 

Tottenham imesonga mbele kwa faida ya kuwa na goli 1-0 katika mchezo wa awali, hivyo kusonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2.
Magoli ya wenyeji Sheffield yalifungwa na mchezaji Adams katika dakika za 77 na79 huku mabaoa ya Tottenham yakifungwa Christian Eriksen katika dakika za 28 na 88. 

Tottenham sasa itakutana na Chelsea katika mchezo wa fainali utakaochezwa katika uwanja wa Wembley, Mach 01'2015.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni