.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 28 Januari 2015

CAPITAL ONE CUP, LIVERPOOL HOI KWA CHELSEA IKITINGA HATUA YA FAINALI YA KUWANIA KOMBE HILO

Matajiri wa jiji la London timu ya soka ya Chelsea imetangulia hatua ya fainali ya kuwania kombe la Capital One nchini Uingereza baada ya kuifunga Liverpool bao 1-0 katika mchezo wa marudiano uliochezwa usiku wa kuamkia leo. 

Bao safi la kichwa toka kwa Branislav Ivanovic katika dakika 94 lilitosha kuwavusha Chelsea kuelekea Wembley ambako ndiko mchezo wa fainali utachezwa.
Wachezaji wa Chelsea, kutoka kushoto Eden Hazard, Oscar na Branislav Ivanovic wakiwa na bendera yenye kuonyesha sasa wanaelekea Wembley, uwanja ambao utatumika kwa ajili ya mchezo wa fainali wa kombe la Capital One

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni