Shehena ya kwanza ya chanjo ya
majaribio dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola, inaelekea nchini Liberia.
Shehena hiyo inakuwa ni jitihada za
kwanza za kinga ya Ebola kufikia nchi hiyo ambayo ni miongoni mwa
zilizoathiriwa mno na ugonjwa huo.
Hata hivyo wataalam wamesema, wakati
matukio ya wagonjwa wa Ebola yakishuka itakuwa ni vigumu kubani iwapo
chanjo hiyo inauwezo wa kudhibiti virusi vya Ebola.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni