Katika mchezo huo wa kundi C wa fainali hizo zinazofanyika nchini Equatorial Guinea, Algeria walionekana kuwazidi maarifa uwanjani Bafana Bafana na kuweza kupata ushindi huo ambao sasa unawanfanya waliongoze kundi lao.
Hata hivyo Afrika Kusini ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao katika kipindi cha pili dakika ya 51, bao likifungwa na Thuso Phala.
Hata hivyo Afrika Kusini ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao katika kipindi cha pili dakika ya 51, bao likifungwa na Thuso Phala.
Algeria walisawazisha bao hilo katika dakika ya 67 baada ya Thulan Hlatshwayo wa Afrika Kusini kujifunga akiwa katika harakati za kuokoa.
Bao la pili nala tatu yaliwekwa kimiani na wachezaji Faouzi Ghoulam dakika ya 72′ na Slimani katika dakika ya 83′.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni