Kwa matokeo hayo Congo sasa ipo nafasi ya tatu katika kundi B ikiwa na pointi 2 sawa na Cape Verde ambao wapo nafasi ya pili.
Ijumaa, 23 Januari 2015
FAINALI ZA MATAIFA AFRIKA 2015, CONGO NA CAPE VERDE HAKUNA MBABE
Timu za mataifa ya Cape Verde na Congo zimejikuta zikitoka uwanjani bila kufungana na kulazimika kugawana pointi moja moja baada ya kushindwa kufungana katika mchezo wa kuwania kombe la Mataifa Afrika, katika michuano inayoendelea nchini Equatorial Guinea.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni