Katika mchezo huo wa jana usiku, timu hizo zilijikuta zikifungana bao 1-1 na kulifanya kundi hilo kuwa gumu, kwani Ivory Coast na Guinea nazo zilifungana bao 1-1.
Mali ndio waliokuwa wa kwanza kutikisa nyavu za Cameroon katika dakika ya 71 kwa bao la Sambou Yabatare na kunako dakika ya 84 Cameroon walifanikiwa kusawazisha bao hilo lililofungwa na Onyongo Bitolo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni