Katika mchezo huo, Oupa Manyisa aliipatia Afrika Kusini bao katika dakika ya 47, lakini Senegal walikuja juu na kufanikiwa kusawazisha bao hilo katika dakika ya 60 mfungaji akiwa ni Kara Mbodji.
Fainali hizo zitaendelea leo kwa michezo ya kundi D, ambapo Ivory Coast watashuka dimbani kucheza na Mali na kufuatiwa na mchezo mwingine kati ya Cameroon na Guinea.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni