Alhamisi, 22 Januari 2015
FAINALI ZA MATAIFA AFRIKA, EQUATORIAL GUINEA WASHINDWA KUTAMBA MBELE YA BURKINA FASO
Wenyeji wa fainali za kombe la mataifa Afrika 2015 ( Afcon ), Equatorial Guinea wameshindwa kutamba nyumbani kwa mara nyingine baada ya kulazimishwa sare ya kutofungana na Burkina Faso katika mchezo wa kundi i A kuwania kombe hilo uliochezwa jana.
Equatorial Guinea pamoja na kuonyesha kandanda safi, walishindwa kutikisa nyavu za wapinzani na kujikuta wakitoka uwanjani huku wakigawana pointi moja moja.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni