.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 24 Januari 2015

HATIMAYE WAZIRI SOSPETER MUHONGO ATANGAZA KUJIUZULU

Waziri wa Nishati na Madini, Mh Sospeter Muhongo akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya wizara hiyo jijini Dar es Salaam. 

Waziri wa Nishati na Madini, Mh Sospeter Muhongo hatimaye ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa wake hii leo kufuatia sakata la akaunti ya Tegeta Escrow. 

Mh Muhongo ametangaza uamuzi huo mbele ya waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu ya wizara hiyo. 

Kujiuzulu kwa Mh Muhongo, kunafuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema aliyejiuzulu kutokana na sakata hilo, pamoja na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Mh Anna Tibaijuka ambaye nafasi yake ilitenguliwa na Rais kufuatia sakata hilo hilo la Escrow.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni