Mourinho alitoa kauli hiyo Desemba 28'2014 wakati timu yake ilipotoka sare ya kufungana bao 1-1 na Southampton katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza, na kudai kuwa kuna kampeni ya kuhakikisha Chelsea haitwai ubingwa wa ligi kuu.
Jumatano, 28 Januari 2015
JOSE MOURINHO ALIMWAA FAINI YA PAUNDI 25,000 KUTOKANA NA MATAMSHI YAKE
Shirikisho la soka nchini Uingereza ( FA ) limempiga faini ya paundi 25,000 kocha mkuu wa timu ya soka ya Chelsea, Mreno Jose Mourinho ( pichani ) baada ya kusema kuwa kuna kampeni kali dhidi ya timu yake inayofanywa na waamuzi uwanjani.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni