.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Januari 2015

PICHA ZA KUSHTUSHA ZAONYESHA POLISI AKILIPUKIWA NA BOMU NA KUFA

Picha za kusikitisha zinaonyesha kundi la watu wakirekodi picha za tukio la polisi wa kutengua mabomu nchini Misri, akifa wakati akijaribu kutengua bomu lililoachwa nje ya kituo cha mafuta.

Video za tukio hilo zilizochukuliwa kwa njia ya simu, zinaonyesha watu wapatao watatu wakimpiga picha polisi huyo, aliyekuwa amevaa nguo za kujikinga, akirushwa juu na bomu hilo baada ya kulipuka mikononi mwake na kufa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni