Mshambuliaji nyota aliyestaafu soka Thierry Henry, Didier Drogba pamoja na Cesc Fabregas walikuwa ni miongoni wa nyota kadhaa walioshudia Milwaukee Bucks ikiifunga New York Knicks jana katika mchezo wa mpira wa kikapu uliochezwa kwenye dimba la 02 Arena Jijini London.
Fabregas na Therry Henry wakifuatilia mchezo huo
Milwaukee Bucks iliifunga New
York Knicks vikapu 95 kwa 79



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni