Mwendesha mashtaka amesema
watuhumiwa wa kundi la Jihad lililosambaratishwa katika operesheni ya
kukabilina na ugaidi nchini Ubelgiji, walikuwa wanapanga kuwauwa
polisi mitaani na kwenye vituo vya polisi.
Amesema mipango yao ya kufanya hivyo
ilikuwa imeshakamilika, na kuongeza kuwa watuhumiwa wawili waliouwawa
huko Verviers wakati polisi walipowavamia hawajajulikana majina yao.
Watuhumiwa wengine 13 wamekamatwa
Ubelgiji na wengine wawili wamekamatwa nchini Ufaransa.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni