.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Machi 2015

LIGI KUU NCHINI UINGEREZA KUENDELEA LEO, ARSENAL WAPO NYUMBANI WAKATI MANCHESTER CITY WATAKUWA UGENINI

Ligi kuu nchini Uingereza itaendelea kutimua vumbi leo katika viwanja tofauti, wakati washika bunduki wa jiji la London, Arsenal wakiwa nyumbani katika uwanja wao wa Emirates kuwaalika West Ham, wao mabingwa watetezi wa kombe hilo, Manchester City watakuwa ugenini kucheza na Burnley. 

Mechi nyingine hii leo ni kama ifuatavyo:-

Crystal Palacevs QPR

Leicester vs Hull

Sunderland vs Aston Villa

West Brom vs Stoke

Mpaka Chelsea ndio vinara wa ligi hiyo kwakuwa na pointi 63 wakifuatiwa na Manchester City wenye pointi 58. Arsenal wapo nafasi ya tatu wakiwa na pointi 54, wakati Manchester United wapo nafasi ya nne wakiwa na pointi 53.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni