.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 25 Machi 2015

LIGI KUU ZANZIBAR, JKU YAITANDIKA SHABA 2-0

Mashabiki wakiwa katika majukwaa wakifuatilia mchezo wa mwazo wa ligi kuu ya Zanzibar baada ya kusimama kwa muda mrefu kutokana na kutofahamu ya Viongozi kusababisha ligi hiyo kusimama kwa muda mrefu na leo kuaza tena kuendelea kwa mchezo kati ya JKU na Shaba.Timu ya JKU imeshinda 2-0
Mshambuliaji wa timu ya JKU akimpita beki wa timu ya Shaba,( Wazee wa Dago).
   Mabeki wa timu ya Shaba wakijiribu kumzuiya mshambuliaji wa timu ya JKU
Mshambuliaji wa timu ya JKU akimpita beki wa timu ya Shaba katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya JKU imeshinda 2-0
Mshambuliaji wa timu ya JKU Mohammed Abdalla akimpita beki wa timu ya Shaba.
Mchezaji wa timu ya JKU Ismail Khamis,akiruka kihuzi cha beki wa timu ya Shaba, wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya JKU imeshinda 2-0. Kwa hisani ya Zanzi News

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni