.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Oktoba 2015

WABUNGE KENYA WACHARUKA BAADA YA BUNGE KUKATIWA UMEME SIKU TATU

Wabunge nchini Kenya wamekasirishwa mno na kitendo cha bunge kukatiwa umeme kwa siku tatu kutokana na kushindwa kulipwa bili ya umeme yenye thamani ya dola 97,000.

Wabunge wa vyama vya upinzani wameitupia lawama serikali, hata hivyo wabunge wa muungano wa Jubilee unaotawala wameitetea serikali.

Wabunge hao pia wamesema hawajalipwa posho zao na baadhi ya watumishi wa bunge hawajalipwa mishahara yao. Mbunge Adan Keynan amesema umeme katika bunge la Kenya ulikatwa Ijumaa hadi Jumatatu ya wiki hii.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni