.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 3 Februari 2016

BONDIA YUSUPH MWEGELO HAPANIA KUMCHAKAZA DEI MBAISO FEB 14

Bondia Yusuph Mwegelo katikati akimtupiana makonde na Mohamed Muhunzi wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kupigana na Dei Mbaiso feb 14 katika ukumbi wa musoma bar Tandika  kulia ni kocha wa kimataifa wa mchezo uho Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Yusuph Mwegelo katikati akimtupiana makonde na Mohamed Muhunzi wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kupigana na Dei Mbaiso feb 14 katika ukumbi wa musoma bar Tandika  kulia ni kocha wa kimataifa wa mchezo uho Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Yusuph Mwegelo kulia akimtupiana makonde na Mohamed Muhunzi wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kupigana na Dei Mbaiso feb 14 katika ukumbi wa musoma bar Tandika  kulia ni kocha wa kimataifa wa mchezo uho Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS
 Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Yusuph Mwegelo anaejiandaa na mpambano wake wa Feb 14 katika ukumbi wa musoma bar ambapo atakumbana na Dei Mbaiso Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Yusuph Mwegelo anaejiandaa na mpambano wake wa Feb 14 katika ukumbi wa musoma bar ambapo atakumbana na Dei Mbaiso Picha na SUPER D BOXING NEWS

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni