Ibada hiyo ilihudhuriwa na idadi kubwa ya watu waliokuwa na huzuni kubwa juu ya kifo hicho kilichogusa mioyo ya watu wengi. Mwili wa marehemu Henry unatarajiwa kusafirishwa jioni ya leo kuelekea nyumbani Tanzania kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa tarehe 22/04/2016. Pata picha za Misa hiyo hapa chini.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggCZxsXrcC-0Hxq2G-mjs-IflR4-M0TJhqIHXlgJAxpgzvGKRWfwHeskrvdqkJWetKp-A4hX8ZfAoF0AnDkhy8MdRBp7p0gqBU533aodZzBiaf_0e5GML3InUYj7wrHIFp_JQpqE1usBco/s640/411199_10150858560976776_822074229_o.jpg)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni