.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 4 Juni 2016

MADEREVA TBL MWANZA WAPIGWA MSASA KUHUSU UDEREVA WA KUJIHAMI

Madereva wa Kiwanda cha Bia TBL mkoani Mwanza wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na Herbert Kubo kiwandani hapo jana.
Mkufunzi, Herbert Kubo akitoa elimu kwa madereva wa Kiwanda cha Bia TBL mkoani Mwanza katika mafunzo ya wafanyakazi hao yaliyofanyika kiwandani hapo jana.
Kampuni ya TBL Group katika mwendelezo wake wa kuzingatia usalama kazini imeandaa mafunzo kwa madereva wake wanaosambaza bidhaa zake yanayohusiana na udereva wa kujihami.Mafunzo hayo yatafanyika kwenye viwanda vyote vya kampuni na yanaendeshwa na mtaalamu kutoka kampuni ya CFAO Motors Expert Herbert Kubu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni