Kufuatia tetemeko hilo, nyumba kadhaa zilibomoka na kuwafukia watu waliokuwa ndani yake huku wengine wakijeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali kwa matibabu.
Muonekano wa moja ya barabara mkoani Kagera iliyoharibika kufuatia tetemeko hilo la ardhi.
Pia imeripotiwa mikoa ya jirani na Kagera ukiwemo mkoa wa Mwanza kukumbwa na tetemeko hilo japo taarifa za madhara bado hazijapatikana.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni