.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 27 Januari 2017

JANET JACKSON AONEKANA HADHARANI KWA MARA YA KWANZA TANGU AJIFUNGUE

Mwanamuziki Janet Jackson ameonekana kwa mara ya kwanza hadharani Jijini London akifanya manunuzi tangu ajifungue mtoto Eissa.

Janet Jackson na mumewe Wissam Al Mana walifanikiwa kumpata mtoto wao wa kwanza wa kiume Eissa wiki tatu zilizopita.

Janet alikuwa ameambatana na rafiki yake ambaye alikuwa amebeba mifuko yenye nguo za mtoto alizonunua kwenye duka hilo.
         Janet Jackson akiwa na rafiki yake aliyebeba mifuko yenye nguo za mtoto alizonunua

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni