.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 27 Januari 2017

KOCHA JOSE MOURINHO AGOMA KUKUBALI KIPIGO KUTOKA KWA HULL CITY

Kocha Jose Mourinho amegoma kukubali kuwa rekodi ya Manchester United kucheza michezo 17 bila kufungwa imetibuliwa baada ya kufungwa magoli 2-1 na Hull City katika mchezo wa kombe la EFL.

Kocha huyo aliyepigwa picha akiwa na chupa ya wine na keki ya kutimiza miaka 54 ya kuzaliwa, anaamini kuwa Manchester United sasa wamecheza michezo 18 bila ya kufungwa.

Hii nikutokana na kocha huyo Mreno kutokubali goli la penati la Hull, alilofunga Tom Huddlestone, baada ya refa Jon Moss kusema beki Marcos Rojo alimvuta jezi Harry Maguire.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni