.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 29 Januari 2017

TRENI YA ABIRIA YAANGUKA PWANI

 Taarifa zilizotufikia zinasema kuwa baadhi ya mabehewa ya treni ya abiria iliyokuwa ikitokea mkoani Kigoma kuelekea jijini Dar es Salaam yameakunga katika eneo la Kikongo - Kibaha mkoani Pwani. Habari zinasema ni mabehewa matano ndiyo yaliyoanguka. Tutawaletea taarifa zaidi
                    Abiria walionusurika wakiwa nje ya treni hiyo baada ya kuanguka
                                                              Muonekano wa treni baada ya kuanguka

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni