.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 31 Mei 2017

KOCHA ARSENE WENGER BADO YUPO YUPO SANA ARSENAL

Kocha Arsene Wenger analenga kutwaa kombe la Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kutia saini mkataba wa kuendelea kuinoa klabu hiyo kwa miaka miwili.

Kwa wale mashabiki wa Arsenal waliokuwa wakishinikiza aondoke itabidi kuwa wapole tu kwani makataba huo mpya hautovunjwa na utamfanya awe na Arsenal kwa miaka 33 sasa.

Ni kama ndoa ya Wenger na Arsenal itaendelea kudumu kwani klabu hiyo na kocha huyo wote wanaamini mkataba huo mpya hautakuwa wa mwisho kwake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni