.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 12 Mei 2017

KUMBE RAIS MUGABE HALALI MIKUTANONI HUWA AMEFUMBA MACHO !

Msemaji wa rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesema rais huyo huwa halali katika mikutano kama inavyodaiwa bali hufumba macho yake kwa muda mrefu ilikuyapumzisha.

Msemaji huyo George Charamba amesema rais Mugabe hufumba macho kuyaepusha na mwanga. 

Imekuwa kawaida sasa kwa rais Mugabe kulala kwenye matukio kadhaa na kuibua hofu ya hali ya afya yake.

Rais Mugabe hivi karibuni amekuwa akipatiwa matibabu maalum ya macho nchini Singapore.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni