.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 31 Mei 2017

MBUNGE MSTAAFU WA JIMBO LA MOSHI MJINI CHADEMA, MZEE NDESAMBURO AMEFAIKI DUNIA

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Moshi mjini kwa kipindi cha miaka kumi na tano Mh. Philemoni Ndesamburo amefariki dunia. 

Mzee Ndesamburo aliyekuwa mbunge wa jimbo la Moshi Mjini kwa vipindi vitatu kuanzia mwaka 2000 hadi 2015 amefariki dunia leo katika hospitali ya Kcmc akiwa na umri wa miaka 82. 

Taarifa juu ya kifo chake zimethibitishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema )

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni