.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Oktoba 2017

BONDIA ANTHONY JOSHUA KUZIDUNDA NA TAKAM BAADA YA PULEV KUJITOA

Bondia Anthony Joshua atatetea mikanda yake ya IBF na WBA ya uzito wa juu duniani dhidi ya Carlos Takam baada ya bondia Kubrat Pulev kujitoa kutokana na kuwa majeruhi.

Pambano lao hilo limepangwa kufanyika Oktoab 28 katika uwanja wa Cardiff huku tiketi zaidi ya 70,000 zikiwa zimeshauzwa.

Pambano hilo litakuwa la kwanza kwa Joshua tangu amdunde Wladimir Klitschko katika dimba la Wembley mwezi April, na kuongeza mkanda wa WBA huku akitetea wa IBF alioutwaa 2016.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni