.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 9 Oktoba 2017

HARRY KANE AISAIDIA UINGEREZA KUIFUNGA LITHUANIA

Penati ya Harry Kane ilitosha kuifanya Uingereza kumaliza kampeni za kuwania kutinga fainali za kombe la dunia kwa ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Lithuania.

Mshambuliaji huyo wa Tottenham Kane aliipatia Uingereza goli hilo pekee katika dakika ya 27 baada ya Dele Alli kuchezewa rafu.

Kocha wa Uingereza Gareth Southgate alifanya mabadiliko katika mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja uliojaa maji ya mvua kwa kumuingiza Harry Winks na Harry Maguire.
                      Harry Kane akifunga goli pekee kwa mpira wa penati katika mchezo huo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni