.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 12 Oktoba 2017

RC SHIGELLA AFUNGUA KIKAO CHA RCC LEO MKOANI TANGA

MKUU wa Mkoa wa Tanga,Martini Shigella akifungua kikao cha kamati ya ushauri cha Mkoa huo (RCC) kulia ni Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga
Meneja wa TRA Mkoa wa Tanga akizungumza katika kikao hicho kuelezea mipango yao
MBUNGE wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM) Steven Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu akizungumza katika kikao hicho kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Gabriel Robert
Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga (RPC) Benedict Wakulyamba akitoa taarifa ya Jeshi la Polisi katika kikao hicho
Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Martini Shigella akifafanua jambo kwenye kikao hicho kushoto ni Katibu Tawala wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi kulia Mbunge wa Jimbo la Muheza,Balozi Adadi Rajabu
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaji Mussa Mbaruku akisisitiza jambo kwenye kikao hicho
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM) Stepheni Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu akichangia kwenye kikao hicho
Mbunge wa Jimbo la Lushoto,Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akiuliza swali kwenye kikao hicho
Katibu Tawala Msaidizi Upande wa Miundombinu mkoa wa Tanga,Monica Kinala katikati na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga(RMO) Dkt Asha Mahita wakifuatili kikao hicho
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini (CCM) Marry Chatanda, Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Mhandisi Robert Gabriel na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM) Stepheni Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu
Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini (CCM) Omari Kigoda akifuatilia kwa umakini kikao hicho
Mbunge wa Jimbo la Tanga,Alhaji Mussa Mbaruku akifuatilia kwa umakini kikao hicho
Meneja wa Bandari ya Tanga Percival Salama kushoto akiteta jambo na PRO wa Bandari hiyo,Moni Jarufu kulia wakati wa kikao cha kamati ya Ushauri wa Mkoa wa Tanga (RCC)
Meneja wa Shirika la Taifa la Nyumba (NHC) Mkoani Tanga,Mussa Kamendu na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Joshua Mgeyekwa wakifuatilia kwa umakini kikao hicho
Askofu wa Jimbo Katoliki la Tanga,Mhashamu Anthony Banzi akiwa kwenye kikao hicho
Mkuu wa wilaya ya Lushoto,Januari Lugangika kushoto akifuatilia kwa umakini hoja mbalimbali zilizokuwa zikiwakilishwa

                                                Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni