.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Novemba 2017

BARCELONA YALAZIMISHWA SARE TASA NA OLYMPIAKOS

Barcelona imelazimishwa sare tasa na Olympiakos na kushindwa kufunga goli katika hatua ya makundi kwa mara ya kwanza katika miaka mitano.

Luis Suarez alijikuta mpira alioupiga kwa tik-taka ukigonga mwamba na kukosa goli ambalo lingewafanya watinge hatua ya mtoano mapema.

Saurez pia alionyesha kutokuwa mchonyo wa nafasi za kufunga alipompasi Lionel Messi pande saa moja baadaye lakini halikuzaa goli.
                             Mshambuliaji Luis Suarez akipiga tik-taka kujaribu kufunga goli 
                             Shabiki akiwa amevamia uwanja na kupiga selfie na Lionel Messi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni