.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 1 Novemba 2017

BEKI PSG ATUPIA HAT-TRICK NA KUCHANGIA USHINDI WA KIPIGO CHA MKONO

Beki wa kushoto Layvin Kurzawa amekuwa beki wa kwanza kufunga magoli matatu yaani hat-trick wakati Paris St-Germain ikiichakaza Anderlecht kwa magoli 5-0 katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Beki Kurzawa alikuwa amefunga magoli 17 tu kabla ya kuanza kwa mchezo huo wa jana usiku alifanikiwa kupachika magoli hayo matatu katika kipindi cha pili.

Mbrazil Neymar na Marco Verratti nao pia walifunga magoli mawili mazuri na kuifanya PSG na kufuzu hatua ya mtoano.
                                                      Marco Verratti akiwa ameachia shuti lililozaa goli 
                       Beki Layvin Kurzawa akiwa amefunga goli lake la pili kati ya matatu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni