.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 8 Novemba 2017

FAHAMU KANISA LINALOBATIZA KWA WHISKY NA KURUHUSU POMBE KANISANI

Kanisa linalohamasisha waumini wake kunywa pombe, kuwabatiza kwa kutumia pombe aina ya Whisky na kuwakaribishwa walevi limekuwa na umaarufu zaidi nchini Afrika Kusini.

Askofu wa kanisa hilo la pombe rukhsa hadi kanisani, Tsietsi Makiti amekuwa akibariki pombe wakati wa ibada kila wiki huko Evaton, Afrika Kusini.

Askofu Makiti ni kiongozi wa kanisa hilo la Gabola lenye waumini 500 ambao ni wanywaji wa pombe ambao hufanya ibada yao siku ya jumapili maenao mbalimbali ya Jiji la Johannesburg.
             Askofu Tsietsi Makiti akiwa na kopo kubwa la Castle akilibariki kanisani 
Mmoja wa waumini wa kanisa akibatizwa na Askofu  Tsietsi Makiti kwa pombe ya kwenye kopo aliyoichagua
Waumini wa kanisa wakiwa wameshikilia vinywaji vyao vikiombewa na kutakaswa na askofu Tsietsi Makiti

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni