.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 4 Desemba 2017

KILIMANJARO STARS YAJIFUA KULISAKA KOMBE LA CHALENJI KENYA

Picha mbalimbali za mazoezi ya Kilimanjaro Stars ya Tanzania Bara wakati wa mazoezi kujiandaa na mechi mbalimbali za kuwania Kombe la Chalenji kwenye Uwanja wa mazoezi wa Machakos, Kenya. Mazoezi hayo yalifanyika leo Jumatatu Desemba 4, 2017 asubuhi. (Picha na Cliford Ndimbo wa TFF).
Picha mbalimbali za mazoezi ya Kilimanjaro Stars ya Tanzania Bara wakati wa mazoezi kujiandaa na mechi mbalimbali za kuwania Kombe la Chalenji kwenye Uwanja wa mazoezi wa Machakos, Kenya. Mazoezi hayo yalifanyika leo Jumatatu Desemba 4, 2017 asubuhi. (Picha na Cliford Ndimbo wa TFF).

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni