Mamia ya waombolezaji wakiingia katika majengo ya umoja (Union Buildings ) kutoa heshima zao za mwisho kwa mpendwa wao Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini marehemu Nelson Mandela kabla ya shughuli hiyo kusimamishwa rasmi mchana wa leo
Mwili wa Nelson Mandela ukiondolewa katika majengo ya Umoja ( Union Buildings ) kabla ya safari ya kuelekea kijijini kwake Qunu atakapozikwa kesho kutwa jumapili kuanza. Kushoto mwenye suti nyeusi ni mjukuu wa Mandela
Wananchi wakitokwa na machozi
Kila mmoja alishindwa kuvumilia baada ya kutoa heshima zake za mwisho
Hali niya huzuni kila kona nchini Afrika Kusini
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)





Hakuna maoni :
Chapisha Maoni