.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Desemba 2013

VAN PERSIE NJE MAN U KWA WIKI NNE

Mshambuliaji mahiri na tegemezi wa Mashetani Wekundu Manchester United atakuwa nje ya uwanja kwa majuma manne kufuatia kuandamwa na majeruhi.

Mholanzi huyo mwenye kasi uwanja na magoli ya kipekee amepata majeraha ya mguu wakati timu yake ilipokuwa inapambana na timu ya Shaktar katika ligi ya mabingwa barani Ulaya, mchezo uliomalizika kwa Manchester United kuibuka na ushindi wa bao moja kwa bila ( 1 - 0 )

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni