Jumatano, 29 Januari 2014
BALOZI KAMALA AMTEMBELEA MKUU WA ITIFAKI WA LUXEMBOURG
Balozi wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus
Buberwa Kamala akipokea zawadi Kutoka kwa Mkuu wa Itifaki wa Serikali
ya Luxembourg Balozi Sandra Thein. Balozi Kamala amemtembelea leo
Balozi Sandra ofisini kwake Luxembourg.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni